Ilikuwa siku ya furaha jana wakati makama ya rufaa ilipoagiza kwamaba mwanasheria Zebedee Ongayo, aachiliwe huru baada ya kuwekwa korokoroni na jaji mmoja katika mahakama kuu mjini Nairobi.Jmabo la kusikitisha ni kwamaba mahakama ya rufaa ilikuwa imeamuru kuwa lile hukumu la yule jaji la kumtia korokoroni yule wakili lisitedeka hadi wakati rufaa itakoposikilizwa.
Yasemekaan kwa mujibu wa wakili mwenyewe kwamab hili tukio lilietwa na ombi la wateja wake kumtaka yule jajji ajiondoe kwa kusikiza kesi.Hili no ombo amabalo mawakili hawaruhusiwi kulifanya bila ya haki au kwa kufnaya shehe kwani ni la muhimu mno.Hatuwezi jua ni kwa nini hili ombo lilifanywa lakini yamkini lilimletea wakili huyu mjini nairobi matata bila kifani.
Swala la upotevu wa imani na jaji wowote kwa sababu ya uhusiano wake na mmoja wa wanao kesi mbele yake au kwa uhusiano na jambo analoombwa kulitatua ni jambo amabalo webgi katika nchi ya Kenya wanaonelea si mwafaka kupewa kipao mbele.
Ukweli ni kwamba kama wnananchi wnataka kuwa ana imani na yale yanyoteeka kotini ni lazima wanaofanya kazi kule wajue imani haiwezi kuwek kama kuna shuku kuwa uhusiano usiofaa waeza kuelewka kushwishi jaji kutatau kesi mbele yake.
Imani ya wananchi ndilo suluhisho la pekee la kutiliwa maanani wakati hili swali linapoibuka katika kesi yeyote.
Mahakama ya rufaa pia katika muungano wa nchi za afrika ya mashariki pia wiki hii hii lilikataa ombi la jaji mkuu kujiondoa kusikiza kesi dhidi ya serilaki ya Kenya.
La muhimu ni kuwa uamuzi wote wa koti lazima upewe heshima na kila mtu, na kwa hivyo jambo lolote linaloweza kubainika kuwa linaweza kutia shaka uamuzi huo lazima liondeolewe kwa haraka iwezekanavyo. Hivi ndivyo watu watasema kuwa tuna uamuzi wa haki.
Haki lazima itendwe hadharani na ibainike hadharani!
Friday, February 9, 2007
Wednesday, February 7, 2007
hamjambo tena?!
Hamjambo tena?!
Pole , lakini singeweza kuandika chochote kwa wakati mkubwa kwa sababu nilikuwa sina la kusema. Hi ni saa sana kuhusu mambo yanayoendelea katika nchi hii na yanavyotangazwa na vyombo vyetu vya habari na sana sana kwa redio na magazeti.
Sijui kama wengi wenyu wameghadhabihswa na matangazo ya aina fulani kama vile mkenya katika mtandao ambaye nilmesahau alivyofanya.Hii ni kwa mfano redio kama vile Classic FM asubuhi na mapema Nairobi.
Kwangu mimi haya yote ni sawa, kwani lililo la muhimu ni Wakenya wenyewe wakiweza kupata nafasi ya kujieleza kwa wengine.
Mengi yatanenwa mwaka huu.Nitaangalia katika magazeti na pia televisheni na redio na kuwaletea habari za kisheria na zingine vile zilivyoletwa.
Jukumu ni lenyu kujiandaa kukubaliana na machapisho haya.
Jana katika gazeti la Daily Nation kulikuwa na machapaisho kuhusu tukio la wiki iliyopita, ijumaa, ambako walioshtakiwa kwa mauaji ya mmoja ya familia ya Akahs huko pwani, waliachiliwa hru.
Sasa familia ya Akasha imetangazwa na gazeti kwamba, linataka uamuzi wa mahakama kuu kuhusu uadilifu wa katiba katika kesi hiyo ambako inaelewka kulikuwa na uhusiano wa Mtahini na mtahiniwa kati ya jaji wa kesi na wakili aliyewakilisha waliotiliwa shaka.
Tutafuata uamuzi wa koti wiki ijayo na kuwaletea vipi itikavyoamuliwa.
P.S. NAELEZWA KWAMBA TUKIO LA MUHIMU KUHUSU UCHAGUZI WA MKUU WA KITIVO CHA SHERIA KATIKA CHUO KIKUU CHA NAIROBI LIMETENDEKA AMBAKO MWANASHERIA DAKTARI KAMERI MBOTE AMETAWAZWA KUWA MSHINDI. IJAPOKUWA KUNA UTATANISHI KUHUSU TUKIO HILI AMBALO LAWEZA TUU KUTATULIWA NA KAMATI KUU YA CHUO HICHO.MENGI WIKI IJAYO KUHUSU JAMBO HILI.
Pole , lakini singeweza kuandika chochote kwa wakati mkubwa kwa sababu nilikuwa sina la kusema. Hi ni saa sana kuhusu mambo yanayoendelea katika nchi hii na yanavyotangazwa na vyombo vyetu vya habari na sana sana kwa redio na magazeti.
Sijui kama wengi wenyu wameghadhabihswa na matangazo ya aina fulani kama vile mkenya katika mtandao ambaye nilmesahau alivyofanya.Hii ni kwa mfano redio kama vile Classic FM asubuhi na mapema Nairobi.
Kwangu mimi haya yote ni sawa, kwani lililo la muhimu ni Wakenya wenyewe wakiweza kupata nafasi ya kujieleza kwa wengine.
Mengi yatanenwa mwaka huu.Nitaangalia katika magazeti na pia televisheni na redio na kuwaletea habari za kisheria na zingine vile zilivyoletwa.
Jukumu ni lenyu kujiandaa kukubaliana na machapisho haya.
Jana katika gazeti la Daily Nation kulikuwa na machapaisho kuhusu tukio la wiki iliyopita, ijumaa, ambako walioshtakiwa kwa mauaji ya mmoja ya familia ya Akahs huko pwani, waliachiliwa hru.
Sasa familia ya Akasha imetangazwa na gazeti kwamba, linataka uamuzi wa mahakama kuu kuhusu uadilifu wa katiba katika kesi hiyo ambako inaelewka kulikuwa na uhusiano wa Mtahini na mtahiniwa kati ya jaji wa kesi na wakili aliyewakilisha waliotiliwa shaka.
Tutafuata uamuzi wa koti wiki ijayo na kuwaletea vipi itikavyoamuliwa.
P.S. NAELEZWA KWAMBA TUKIO LA MUHIMU KUHUSU UCHAGUZI WA MKUU WA KITIVO CHA SHERIA KATIKA CHUO KIKUU CHA NAIROBI LIMETENDEKA AMBAKO MWANASHERIA DAKTARI KAMERI MBOTE AMETAWAZWA KUWA MSHINDI. IJAPOKUWA KUNA UTATANISHI KUHUSU TUKIO HILI AMBALO LAWEZA TUU KUTATULIWA NA KAMATI KUU YA CHUO HICHO.MENGI WIKI IJAYO KUHUSU JAMBO HILI.
Thursday, November 23, 2006
Kweli, Haki ya wachapishaji ina ukingo wake hata America?( au sana sana America?)
Kweli, Haki ya wachapishaji ina ukingo wake hata America?( au sana sana America?)
Jambo! Mawazo leo tutayaelekeza kwenye tukio katika nchi ya America ambako sheria ya rekebisho la kwanza la Katiba (First Amendment) linazuia sheria yeyote ile katika Nchi ya America ambayo inanuia kuelekeza maoni au namna au la ya yale yanayochapishwa kwa gazeti au kuandaliwa katika runinga au redio. Maswala ambayo sheria ya nchi hiyo kulingana na uamuzi wa koti kuu la katiba hayaja katazwa na rekebisho la kwanza la Katiba ni kuhusu vikwazo dhidi ya yasioridisha ya mapenzi.
Kuna mengi pia ambayo wananchi wa America hawajakubalian kuhusu umbali wa rekebisho la kwanza la Katiba.
Mwanaspoti O.J. Simpson ilisemekana kutokana na yeye mwenyewe an mawakili wake na wachapishaji wa vitabu, kwamba alikuwa an kitabi na filamu ndogo, “ If I did it” kuhusu jinsi angalivyotenda mauaji aliyoondolewa lawama na koti la uhalifu lakini akapatwa na lawama na koti la haki za kawaida, huko California. Wengi, inasemekana walipandwa ma mori sana kuhusu kitabu na filamu hii ambayo iliegezea kutotilia maanani uchungu na fedheha ya wale walioaga dunia kutukia lile tendo la maauaji katika nyumba yake O.J. Simpson.
Mwekezaji mkuu wa stesheni ya Fox News, Rupert Murdoch, alionelea ya kwamba Waamerica wengi wangepotishwa na ile filamu iliyokuwa iandaliwe katika running a yake nap engine kuuokota pesa nyingi kupitia vitambulisho.
Hili ni jambo amabalo ….katika nchi zingine pengine hata halingewezekana kwa sababu sheria za nchi hizo zinakataza filamu kama hizo. Nchi ya Uingereza ni mfano sahihi. Katika nchi hii uonyeshanaji wa filamu kama iliotangazwa ingekuwa uvunjaji wa sheria. …….Pengine walio na hamaki kuhusu maswala ya Haki ya kuchapisha waweza kuonelea kwamba hata pasipo na sheria waandishi wenyewe na wanaoandaa matangazo kwa runinga kuna yale wanayotilia maanani wakati wa kazi yao.Hili ni jambo ambalo limetajwa na wengi kuwa kikwazo kisichoeleweka na wengi kuhusu uadilifu na haki ya kuchapisha an kutangaza. Kwa kimombo, wanalitamka kama, “self-censorship” na kulingana na yale yaliotukia America wiki hii, ole… rekebisho la kwanza la Katiba!!!!
Maadili na utamaduni ya wananchi wa America yaonekana bado ni mvutano kati ya sheria wasizotaka na ambazo katiba imekataa kupitishwa na mambo ambayo wengi wao ( kama wale waliofanya filamu hii isionyeshwe) wanaonelea si mwafaka( mfano ni ule utumiaji wa picha za tukio la 9/11 na chama cha Repuplican Party katika kuomba kura za Urais). Jambo ni kwamba pengine ni afadhali kutokuwa na sheria kuliko kuwa na sheria inayowanyanyasa wananachi kwa kuhujumu haki yao ya kuelezwa ukweli. America, kuna dhihirisho kwamba kuna mengi yanayotendeka kulingana na sheria ya rekebisho la kwanza la Katiba lakini pia “ self-censorship” ni jambo lisiloweza kutupiliwa mbali kama la kupotosha.Je, ni lipi zimwi likujualo?
Jambo! Mawazo leo tutayaelekeza kwenye tukio katika nchi ya America ambako sheria ya rekebisho la kwanza la Katiba (First Amendment) linazuia sheria yeyote ile katika Nchi ya America ambayo inanuia kuelekeza maoni au namna au la ya yale yanayochapishwa kwa gazeti au kuandaliwa katika runinga au redio. Maswala ambayo sheria ya nchi hiyo kulingana na uamuzi wa koti kuu la katiba hayaja katazwa na rekebisho la kwanza la Katiba ni kuhusu vikwazo dhidi ya yasioridisha ya mapenzi.
Kuna mengi pia ambayo wananchi wa America hawajakubalian kuhusu umbali wa rekebisho la kwanza la Katiba.
Mwanaspoti O.J. Simpson ilisemekana kutokana na yeye mwenyewe an mawakili wake na wachapishaji wa vitabu, kwamba alikuwa an kitabi na filamu ndogo, “ If I did it” kuhusu jinsi angalivyotenda mauaji aliyoondolewa lawama na koti la uhalifu lakini akapatwa na lawama na koti la haki za kawaida, huko California. Wengi, inasemekana walipandwa ma mori sana kuhusu kitabu na filamu hii ambayo iliegezea kutotilia maanani uchungu na fedheha ya wale walioaga dunia kutukia lile tendo la maauaji katika nyumba yake O.J. Simpson.
Mwekezaji mkuu wa stesheni ya Fox News, Rupert Murdoch, alionelea ya kwamba Waamerica wengi wangepotishwa na ile filamu iliyokuwa iandaliwe katika running a yake nap engine kuuokota pesa nyingi kupitia vitambulisho.
Hili ni jambo amabalo ….katika nchi zingine pengine hata halingewezekana kwa sababu sheria za nchi hizo zinakataza filamu kama hizo. Nchi ya Uingereza ni mfano sahihi. Katika nchi hii uonyeshanaji wa filamu kama iliotangazwa ingekuwa uvunjaji wa sheria. …….Pengine walio na hamaki kuhusu maswala ya Haki ya kuchapisha waweza kuonelea kwamba hata pasipo na sheria waandishi wenyewe na wanaoandaa matangazo kwa runinga kuna yale wanayotilia maanani wakati wa kazi yao.Hili ni jambo ambalo limetajwa na wengi kuwa kikwazo kisichoeleweka na wengi kuhusu uadilifu na haki ya kuchapisha an kutangaza. Kwa kimombo, wanalitamka kama, “self-censorship” na kulingana na yale yaliotukia America wiki hii, ole… rekebisho la kwanza la Katiba!!!!
Maadili na utamaduni ya wananchi wa America yaonekana bado ni mvutano kati ya sheria wasizotaka na ambazo katiba imekataa kupitishwa na mambo ambayo wengi wao ( kama wale waliofanya filamu hii isionyeshwe) wanaonelea si mwafaka( mfano ni ule utumiaji wa picha za tukio la 9/11 na chama cha Repuplican Party katika kuomba kura za Urais). Jambo ni kwamba pengine ni afadhali kutokuwa na sheria kuliko kuwa na sheria inayowanyanyasa wananachi kwa kuhujumu haki yao ya kuelezwa ukweli. America, kuna dhihirisho kwamba kuna mengi yanayotendeka kulingana na sheria ya rekebisho la kwanza la Katiba lakini pia “ self-censorship” ni jambo lisiloweza kutupiliwa mbali kama la kupotosha.Je, ni lipi zimwi likujualo?
Thursday, November 16, 2006
Kuna mambo yanayoendelea sasa hivi kuhusu uchaguzi wa mwenyekiti na wanachama kuu ( kamati kuu) ya chama cha wanasheria wa Kenya.Mmoja wa wale ambao anatetea kiti cha mwenyekiti ameandaa kwa mtandao chapisho lake la uchaguzi ambako wewe na mimi twaweza kuzua utata na mengineo katika uchaguzi na sera zake.
Mimi nataka kuwa mmoja wa wale ambao wataweza kulinganisha sera zake na mwongozo unaofaa katika hiki chama.Maswala nyeti ambayo lazima yatiliwe maanani yana wengi ambao wanaoyasema..kwa mtaa,,vichochoroni na kwingineko.Wengine wana utata kuhusu jambo ambalo hawawezi kueleza kinaga ubaga lakini wana hakika kuna jambo......wakilisikia watakwambia hilo ndilo jambo!!!
Wengi wa wanasheria hapa Kenya, kama Wakenya wengi kiswahili chao ni cha hali isioridhisha na kwa hivyo wengi hawataweza kusoma nitakayoandika na kuzidi kuhimiza hapa.La muhimu ni kwamba Kiswahili lazima kitukuzwe.Wengi huongea, isipokuwa si mufi, lakini huwasiliana. Hii ni njia yangu moja tuu ya kujaribu kuleta Kiswahili katika mustali wa mbele kwa mazungumzo yetu.
Swala ambao tutangazia leo ni hili la uchaguzi unaotekelezwa kupitia sanduku la posta.Katika uchaguzi wote, la makini ni kwamba kura lazima zipigwe na kukusanywa katika njia ya kuridhisha wote.Lazima kura ifanyike hadharani!!!Jambo la kusikitisha ni kwamba wanasheria leo wanatuma kura zao kwa njia ya posta na hizi kura zinakusanywa na ofisi ya kamati ya wanasheria pia zinakaguliwa baadaye na repoti kutolewa na wakaguzi.Hili ni jambo ambalo wengi wameonelea ni la hali duni kulinganisha na vile ambavyo wanasheria wenyewe huonelea ni mwafaka katika kila uchaguzi, uwe ni wa nchi au chama chochote kile.
Swala la pili ni kwamba kila mpiga kura lazima aweke sahihi kura yake na jina lake na anwani yake.Hivi ni kumaanisha ya kwamba lazima wanachama wajulikane wakati wa kura. Hili si swala kwani lazima anayepiga kura atambulike.Jambo ni kwamba wanaongangania viti huwa na uwezo wa kujua nani aliyewapigia kura au la.Kama hili si swala basi na liwe liwalo.
Haya ndiyo maswala mawili ya kwanza.Mengine itafuata.
Waweza kuungana na wanasheria katika harakati hii kutumia anwani hiihttp://lsk2007kw.blogspot.com/
HADI KESHO..INSHALLAH..ALAMSIKI!
Mimi nataka kuwa mmoja wa wale ambao wataweza kulinganisha sera zake na mwongozo unaofaa katika hiki chama.Maswala nyeti ambayo lazima yatiliwe maanani yana wengi ambao wanaoyasema..kwa mtaa,,vichochoroni na kwingineko.Wengine wana utata kuhusu jambo ambalo hawawezi kueleza kinaga ubaga lakini wana hakika kuna jambo......wakilisikia watakwambia hilo ndilo jambo!!!
Wengi wa wanasheria hapa Kenya, kama Wakenya wengi kiswahili chao ni cha hali isioridhisha na kwa hivyo wengi hawataweza kusoma nitakayoandika na kuzidi kuhimiza hapa.La muhimu ni kwamba Kiswahili lazima kitukuzwe.Wengi huongea, isipokuwa si mufi, lakini huwasiliana. Hii ni njia yangu moja tuu ya kujaribu kuleta Kiswahili katika mustali wa mbele kwa mazungumzo yetu.
Swala ambao tutangazia leo ni hili la uchaguzi unaotekelezwa kupitia sanduku la posta.Katika uchaguzi wote, la makini ni kwamba kura lazima zipigwe na kukusanywa katika njia ya kuridhisha wote.Lazima kura ifanyike hadharani!!!Jambo la kusikitisha ni kwamba wanasheria leo wanatuma kura zao kwa njia ya posta na hizi kura zinakusanywa na ofisi ya kamati ya wanasheria pia zinakaguliwa baadaye na repoti kutolewa na wakaguzi.Hili ni jambo ambalo wengi wameonelea ni la hali duni kulinganisha na vile ambavyo wanasheria wenyewe huonelea ni mwafaka katika kila uchaguzi, uwe ni wa nchi au chama chochote kile.
Swala la pili ni kwamba kila mpiga kura lazima aweke sahihi kura yake na jina lake na anwani yake.Hivi ni kumaanisha ya kwamba lazima wanachama wajulikane wakati wa kura. Hili si swala kwani lazima anayepiga kura atambulike.Jambo ni kwamba wanaongangania viti huwa na uwezo wa kujua nani aliyewapigia kura au la.Kama hili si swala basi na liwe liwalo.
Haya ndiyo maswala mawili ya kwanza.Mengine itafuata.
Waweza kuungana na wanasheria katika harakati hii kutumia anwani hiihttp://lsk2007kw.blogspot.com/
HADI KESHO..INSHALLAH..ALAMSIKI!
Subscribe to:
Posts (Atom)